Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 4:29 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

29 Njoni, nitazame mtu aliyeniambia mambo yote niliyoyatenda. Je! haimkini huyu kuwa ndiye Kristo?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 “Njoni mkamwone mtu aliyeniambia mambo yote niliyotenda! Je, yawezekana kuwa yeye ndiye Kristo?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 “Njoni mkamwone mtu aliyeniambia mambo yote niliyotenda! Je, yawezekana kuwa yeye ndiye Kristo?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 “Njoni mkamwone mtu aliyeniambia mambo yote niliyotenda! Je, yawezekana kuwa yeye ndiye Kristo?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 “Njooni mkamwone mtu aliyeniambia kila kitu nilichotenda! Je, yawezekana huyu ndiye Al-Masihi?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 “Njooni mkamwone mtu aliyeniambia kila kitu nilichotenda! Je, yawezekana huyu ndiye Al-Masihi?”

Tazama sura Nakili




Yohana 4:29
12 Marejeleo ya Msalaba  

Makutano wote wakashangaa wakasema, Huyu siye mwana wa Daud?


Yule mwanamke akamwambia, Najua ya kuwa yuaja Masihi (aitwae Kristo). Atakapokuja yeye, atatufunulia yote.


Bassi yule mwanamke akauacha mtungi wake, akaenda zake mjini, akawaambia watu,


Bassi wakatoka mjini wakamwendea.


Na katika mji ule Wasamaria wengi wakaamini kwa sababu ya maneno ya yule mwananike, aliposhuhudu, kwamba, Aliniambia mambo yote niliyoyatenda.


Na kumbe! ananena waziwazi wala hawamwambii neno? Yumkini wakuhwa wanajua kwa hakika ya kuwa huyu ni Kristo!


Watu wengi katika makutano wakamwamini: wakasema, Atakapokuja Kristo, je! atafanya ishara nyingi zaidi kuliko hizi alizozifanya huyu?


Na Roho na Bibi arusi wasema, Njoo. Nae asikiae aseme, Njoo. Nae aliye na kiu, na aje: na apendae ayatwae maji ya uzima burre.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo