Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 4:24 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

24 Mungu ni roho, nao wamwabuduo imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Mungu ni roho, na watu wanaomwabudu lazima wamwabudu kwa Roho na ukweli.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Mungu ni roho, na watu wanaomwabudu lazima wamwabudu kwa Roho na ukweli.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Mungu ni roho, na watu wanaomwabudu lazima wamwabudu kwa Roho na ukweli.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Mungu ni Roho, na wote wanaomwabudu imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Mungu ni Roho na wote wanaomwabudu imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.”

Tazama sura Nakili




Yohana 4:24
13 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini saa inakuja, na sasa ipo, ambayo wenye ibada khalisi watamwabudu Baba katika roho na kweli: kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu.


Hwa maana kujisifu kwetu ni huku, ushuhuda wa dhamiri yetu, ya kwamba kwa unyofu na weupe wa moyo utokao kwa Mungu, si kwa hekima ya mwili, bali kwa neema ya Mungu, tulienenda katika dunia, na khassa kwenu ninyi.


Bassi Bwana ndiye Roho huyo; walakini alipo Roho ya Bwana, hapo ndipo panapo uhuru.


Maana sisi tu tohara, tumwabuduo Muugu kwa Roho, na kujisifu katika Kristo Yesu, wala hatuutumainii mwili. Walakini mimi ningeweza kuutumainia mwili.


Kwa Mfalme wa milele, asiyeweza kuona uharibifu, asiyeonekana, Mungu wa hekima peke yake, kwake yeye heshima na utukufu milele na milele. Amin.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo