Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 4:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

19 Yule mwanamke akamwambia, Bwana, naona ya kuwa u nabii.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Huyo Mwanamke akamwambia, “Bwana, naona ya kuwa wewe u nabii.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Huyo Mwanamke akamwambia, “Bwana, naona ya kuwa wewe u nabii.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Huyo Mwanamke akamwambia, “Bwana, naona ya kuwa wewe u nabii.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Yule mwanamke akasema, “Bwana, naona bila shaka wewe ni nabii.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Yule mwanamke akasema, “Bwana, naona bila shaka wewe ni nabii.

Tazama sura Nakili




Yohana 4:19
14 Marejeleo ya Msalaba  

Makutano wakanena, Huyu ni Yesu, yule nabii wa Nazareti ya Galilaya.


Akawaambia, Mambo gani? Wakamwambia, Mambo ya Yesu Mnazareti, aliyekuwa mtu nabii mwenye nguvu kwa tendo na kwa neno mbele za Mungu na watu wote;


Khofu ikawashika wote, wakamtukuza Mungu, wakisema, Nabii mkuu ametokea kwetu: na Mungu amewajilia watu wake.


Yule Farisayo aliyemwalika, alipoona haya akasema kimoyomoyo, akinena, Mtu huyu kama angekuwa nabii, angalimjua huyu ni nani! na ni mwanamke gani anaemgusa, ya kuwa ni mwenye dhambi.


kwa maana umekuwa na waume watano, na yeye uliye nae sasa siye mume wako; hapo umesema kweli.


Njoni, nitazame mtu aliyeniambia mambo yote niliyoyatenda. Je! haimkini huyu kuwa ndiye Kristo?


Bassi watu wale, walipoiona ishara aliyoifanya Yesu, wakasema, Huyu hakika ni nabii yule ajae ulimwenguni.


Bassi watu wengi katika makutano waliposikia neno lile, walinena, Huyu hakika yake ndiye nabii yule.


Kukawa matangukano kati yao. Bassi wakamwambia yule kipofu marra ya pili, Wewe unasema nini katika khabari zake kwa kuwa alikufumbua macho? Akasema, Yu nabii.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo