Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 4:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

13 Yesu akajibu, akamwambia, Killa anywae maji haya ataona kiu tena:

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Yesu akamjibu, “Kila anayekunywa maji haya ataona kiu tena.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Yesu akamjibu, “Kila anayekunywa maji haya ataona kiu tena.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Yesu akamjibu, “Kila anayekunywa maji haya ataona kiu tena.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Isa akamjibu, “Kila mtu anayekunywa maji ya kisima hiki ataona kiu tena.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Isa akamjibu, “Kila mtu anayekunywa maji ya kisima hiki, ataona kiu tena.

Tazama sura Nakili




Yohana 4:13
6 Marejeleo ya Msalaba  

Akalia, akasema, Baba Ibrahimu, unirehemu, umtume Lazaro, achovye ncha ya kidole chake majini, auburudishe ulimi wangu; kwa maana naumia katika moto huu.


Je! wewe u mkubwa kuliko baba yetu Yakobo aliyetupa kisima hiki, nae mwenyewe akanywa maji yake, na wanawe pia, na nyama zake?


walakini ye yote atakaekunywa maji yale nitakayompa mimi, hataona kiu milele, bali yale maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji, yakibubujika hatta uzima wa milele.


Msikitendee kazi chakula chenye kuharibika, bali chakula kidumucho hatta uzima wa milele, Mwana wa Adamu atakachowapeni: maana huyu ndiye aliyetiwa muhuri na Baba, yaani, Mungu.


Baba zetu waliila manna jangwani wakafa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo