Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 3:9 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

9 Nikodemo akajibu, akamwambia, Yawezaje kuwa haya?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Nikodemo akamwuliza, “Mambo haya yanawezekanaje?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Nikodemo akamwuliza, “Mambo haya yanawezekanaje?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Nikodemo akamwuliza, “Mambo haya yanawezekanaje?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Nikodemo akamuuliza, “Mambo haya yanawezekanaje?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Nikodemo akamuuliza, “Mambo haya yanawezekanaje?”

Tazama sura Nakili




Yohana 3:9
9 Marejeleo ya Msalaba  

Mariamu akamwambia malaika, Litakuwaje neno hili; kwa maana simjui mume?


Yesu akajibu akamwambia, Je! Wewe u mwalimu katika Israeli, na haya huyafahamu?


Nikodemo amwambia, Awezaje mtu kuzaliwa, akiwa mzee? Aweza kuingia tumboni mwa mama yake marra ya pili akazaliwa?


Upepo huenda utakako, na sauti yake waisikia, lakini hujui unakotoka wala unakokwenda; kadhalika na killa mtu aliyezaliwa kwa Roho.


Bassi Wayahudi wakashindana wao kwa wao, wakinena; Awezaje mtu huyu kutupa sisi nyama yake tuile?


Bassi watu wengi katika wanafunzi wake waliposikia haya, wakasema, Neno hili ni gumu, nani awezae kulisikia?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo