Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 3:35 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

35 Baba ampenda Mwana, amempa vyote mikononi mwake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

35 Baba anampenda Mwana na amemkabidhi vitu vyote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

35 Baba anampenda Mwana na amemkabidhi vitu vyote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

35 Baba anampenda Mwana na amemkabidhi vitu vyote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

35 Baba anampenda Mwana, naye ametia vitu vyote mkononi mwake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

35 Baba anampenda Mwana, naye ametia vitu vyote mikononi mwake.

Tazama sura Nakili




Yohana 3:35
25 Marejeleo ya Msalaba  

Nimekabidhiwa vyote na Baba yangu: wala hakuna mtu amjuae Mwana, illa Baba; wala hakuna mtu amjuae Baba illa Mwana, na ye yote ambae Mwana apenda kumfunulia.


Alipokuwa akisema, wingu jeupe likawatia uvuli; sauti ikatoka katika lile wingu, ikinena, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, niliyependezwa nae; msikieni yeye.


Yesu akaja kwao, akasema nao, akinena, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na juu ya dunia.


na sauti toka mbinguni ikinena, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninaependezwa nae.


Akawagenkia wanafunzi wake akasema, Nimekahidhiwa vyote na Baba yangu: wala hapana mtu ajuae khabari za Mwana illa Baba: wala khabari za Baha illa Mwana, na mtu ye yote ambae Mwana apenda kumfunulia.


bassi Yesu akijua ya kuwa Baba amempa vyote mikononi mwake, na ya kuwa alitoka kwa Mungu, na anakwenda kwa Mungu,


Kama Baba alivyonipenda mimi, nami nimewapenda ninyi; kaeni katika pendo langu.


kama vile ulivyompa mamlaka juu ya killa mwenye mwili, illi yote uliyompa awape uzima wa milele.


mimi ndani yao, na wewe ndani yangu, wapate kukamilika na kuwa umoja; illi ulimwengu ujue ya kuwa udiwe uliyenituma, ukawapenda wao kama ulivyonipenda mimi.


Naliwajulisiia jina lako, tena nitawajulisha, illi pendo lile ulilonipenda mimi liwe ndani yao, na mimi niwe ndani yao.


Maana Baba ampenda Mwana, amwonyesha yote ayatendayo mwenyewe; na kazi kubwa zaidi kuliko hizi atamwonyesha illi ninyi mpate kustaajabu.


Maana Baba hamhukumu mtu aliye yote, bali amempa Mwana hukumu yote;


Kwa kuwa alitiisha vitu vyote chini ya miguu yake. Lakini akisema, Vyote vimetiishwa, ni dhahiri ya kuwa yeye aliyemtiishia vitu vyote hamo.


akavitia vitu vyote chini ya miguu yake, akamweka awe kichwa juu ya vitu vyote kwa ajiii ya kanisa,


mwisho wa siku bizi amesema na sisi katika Mwana, aliyemweka kuwa mrithi yote, kwa yeye aliufanya ulimwengu.


alioko mkono wa kuume wa Mungu, amekwenda zake mbinguni, malaika na enzi na nguvu zimetiishwa chini yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo