Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 3:33 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

33 Aliyeukubali ushuhuda wake ametia muhuri yake kwamba Mungu ni kweli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Lakini mtu yeyote anayekubali ujumbe wake anathibitisha kwamba Mungu ni kweli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Lakini mtu yeyote anayekubali ujumbe wake anathibitisha kwamba Mungu ni kweli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Lakini mtu yeyote anayekubali ujumbe wake anathibitisha kwamba Mungu ni kweli.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Lakini yeyote anayekubali huo ushuhuda anathibitisha kwamba, Mungu ni kweli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Lakini yeyote anayekubali huo ushuhuda anathibitisha kwamba Mwenyezi Mungu ni kweli.

Tazama sura Nakili




Yohana 3:33
17 Marejeleo ya Msalaba  

Msikitendee kazi chakula chenye kuharibika, bali chakula kidumucho hatta uzima wa milele, Mwana wa Adamu atakachowapeni: maana huyu ndiye aliyetiwa muhuri na Baba, yaani, Mungu.


Nina maneno mengi ya kusema na kuhukumu katika khabari zenu; lakini yeye aliyenipeleka ni kweli, nami niliyoyasikia kwake, ndiyo ninenayo katika ulimwengu.


Bassi nikiisha kumaliza hazi hii, na kuwatilia muhuri tunda hili, nitapita kwenu na kutoka kwenu nitakwenda Hispania.


Nae aliipokea dalili hii ya kutahiriwa, muhuri ya wema wa imani aliyokuwa nayo kabla asijatahiriwa; apate kuwa baba yao wote waaminio, ijapokuwa hawakutahiriwa, illi na wao pia wahesahiwe wema;


Kwa maana ikiwa mimi si mtume kwa wengine, illakini ni mtume kwenu ninyi; kwa maana muhuri ya utume wangu ni ninyi katika Bwana.


Lakini kama Mungu alivyo mwaminifu, neno letu kwenu halikuwa ndiyo na siyo.


nae ndiye aliyetutia muhuri akatupa arabuni ya Roho mioyoni mwetu.


katika huyo na ninyi, mkiisha kulisikia neno la kweli, khabari njema ya wokofu wenu, katika huyo tena mkiisha kumwamini, mlitiwa muhuri na Roho yule Mtakatifu wa ahadi yake,


Wala msimhuzunishe Roho yule Mtakatifu wa Mungu; kwa yeye mlitiwa muhuri mpaka siku ya ukombozi.


Lakini msingi wa Mungu ulio imara umesimama, wenye muhuri hii, Bwana awajua walio wake; tena, killa alilajae jina la Bwana na aache uovu.


Katika neno hilo Mungu, akitaka kuwaonyesha wairithio ile ahadi jinsi mashauri yake yasivyoweza kubadilika, alitia kiapo katikati;


Tukisema hatukutenda dhambi, twamfanya mwongo wala neno lake halimo mwetu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo