Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 3:32 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

32 Aliyoyaona na kuyasikia ndiyo anayoshuhudia, wala hapana anaeukubali ushuhuda wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Yeye husema yale aliyoyaona na kuyasikia, lakini hakuna mtu anayekubali ujumbe wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Yeye husema yale aliyoyaona na kuyasikia, lakini hakuna mtu anayekubali ujumbe wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Yeye husema yale aliyoyaona na kuyasikia, lakini hakuna mtu anayekubali ujumbe wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Yeye hushuhudia yale aliyoyaona na kuyasikia, lakini hakuna yeyote anayekubali ushuhuda wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Yeye hushuhudia yale aliyoyaona na kuyasikia, lakini hakuna yeyote anayekubali ushuhuda wake.

Tazama sura Nakili




Yohana 3:32
13 Marejeleo ya Msalaba  

kwa maaua killa aombae hupokea; nae atafutae huona, nae abishae alafunguliwa.


Alikuja kwake, nao walio wake hawakumpokea.


Siwaiti tena watumwa; kwa maana mtumwa hajui atendalo bwana wake; ninyi nimewaita rafiki; kwa kuwa yote niliyosikia kwa Baba nimewaarifuni.


Bassi Pilato akamwambia, Wewe u mfalme bassi? Yesu akajibu, Wewe wanena ya kwamba mimi ni mfalme. Mimi nalizaliwa kwa ajili ya haya na kwa ajili ya haya nalikuja ulimwenguni, illi niishuhudie kweli. Killa aliye wa kweli hunisikia sauti yangu.


Amin, amin, nakuambia, Tulijualo twalisema, na tuliloliona twalishuhudu; na ushuhuda wetu hamwukubali.


Wakamwendea Yohana, wakamwambia, Rabbi, yeye aliyekuwa pamoja nawe ngʼambu ya Yardani, uliyemshuhudia wewe, huyu nae anabatiza, na watu wote wanamwendea.


Aliyeukubali ushuhuda wake ametia muhuri yake kwamba Mungu ni kweli.


Maana Baba ampenda Mwana, amwonyesha yote ayatendayo mwenyewe; na kazi kubwa zaidi kuliko hizi atamwonyesha illi ninyi mpate kustaajabu.


Nina maneno mengi ya kusema na kuhukumu katika khabari zenu; lakini yeye aliyenipeleka ni kweli, nami niliyoyasikia kwake, ndiyo ninenayo katika ulimwengu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo