Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 3:24 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

24 Maana Yohana alikuwa hajatiwa gerezani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 (Wakati huo Yohane alikuwa bado hajafungwa gerezani.)

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 (Wakati huo Yohane alikuwa bado hajafungwa gerezani.)

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 (Wakati huo Yohane alikuwa bado hajafungwa gerezani.)

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 (Hii ilikuwa kabla Yahya hajafungwa gerezani.)

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 (Hii ilikuwa kabla Yahya hajatiwa gerezani).

Tazama sura Nakili




Yohana 3:24
6 Marejeleo ya Msalaba  

Maana Herode alikuwa amemkamata Yohana, akamfunga, akamtia gerezani, kwa ajili ya Herodias, mke wa Filipo ndugu yake.


Yesu aliposikia ya kwamba Yohana amefungwa, akaenda zake hatta Galilaya;


Kwa maana Herode mwenyewe alikuwa ametuma wata, akamkamata Yohana, akamfunga gerezani, kwa ajili va Herodias, nikewe Filipo ndugu yake: kwa kuwa amemwoa; bassi Yohana alimwambia Herode,


Yohana nae alikuwa akibatiza huko Ainon, karibu na Salim, kwa sababu palikuwa na maji tele; watu wakamwendea wakabatizwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo