Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 3:1 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

1 PALIKUWA na mtu mmoja wa Mafarisayo, jina lake Nikodemo, mkuu wa Wayahudi;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Kulikuwa na kiongozi mmoja Myahudi, wa kikundi cha Mafarisayo, jina lake Nikodemo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Kulikuwa na kiongozi mmoja Myahudi, wa kikundi cha Mafarisayo, jina lake Nikodemo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Kulikuwa na kiongozi mmoja Myahudi, wa kikundi cha Mafarisayo, jina lake Nikodemo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Basi palikuwa na mtu mmoja Farisayo, jina lake Nikodemo, mmoja wa Baraza la Wayahudi lililotawala.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Basi palikuwa na mtu mmoja Farisayo, jina lake Nikodemo, mmoja wa Baraza la Wayahudi lililotawala.

Tazama sura Nakili




Yohana 3:1
5 Marejeleo ya Msalaba  

Pilato akawaita pamoja makuhani wakuu, na wakubwa, na watu, akawaambia,


Akaenda Nikodemo nae, yule aliyemwendea usiku hapo kwanza, akaleta machanganyiko ya manemane na uudi, yapata ratli mia.


Yesu akajibu akamwambia, Je! Wewe u mwalimu katika Israeli, na haya huyafahamu?


Na kumbe! ananena waziwazi wala hawamwambii neno? Yumkini wakuhwa wanajua kwa hakika ya kuwa huyu ni Kristo!


Tufuate:

Matangazo


Matangazo