Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 21:10 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

10 Yesu akawaambia, Leteni hapa baadhi ya samaki mlizozivua sasa hivi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Yesu akawaambia, “Leteni hapa baadhi ya samaki mliovua.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Yesu akawaambia, “Leteni hapa baadhi ya samaki mliovua.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Yesu akawaambia, “Leteni hapa baadhi ya samaki mliovua.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Isa akawaambia, “Leteni baadhi ya hao samaki mliovua sasa hivi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Isa akawaambia, “Leteni baadhi ya hao samaki mliovua sasa hivi.”

Tazama sura Nakili




Yohana 21:10
6 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi, wakiwa bado kuamini kwa furaha, wakitaajabu, akawaambia, Mna kitu cha kula hapa?


Bassi Simon Petro akapanda chomboni, akalivuta jarife pwani, limejaa samaki kubwa, mia na khamsini na tatu: na ijapokuwa zilikuwa nyingi namna hii, jarife halikupasuka. Yesu akawaambia, Njoni mle.


Yesu akaenda akautwaa mkate, akawapa, na kitoweo vivyo hivyo.


Bassi waliposhuka pwani, wakaona moto wa makaa huko, na kitoweo kimetiwa juu yake, na mkate.


Bassi Yesu akaitwaa mikate, akashukuru, akawagawia walioketi; kadhalika katika wale samaki kwa kadiri walivyotaka.


Yupo mtoto hapa, ana mikate mitano ya shayiri na samaki wawili, lakini haya nini kwa watu wengi kama hivi?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo