Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 20:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 Bassi ndipo akaingia nae mwanafunzi yule mwingine aliyekuwa wa kwanza wa kufika kaburini, akaona, akaamini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Kisha yule mwanafunzi mwingine aliyetangulia kufika kaburini, akaingia pia ndani, akaona, akaamini. (

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Kisha yule mwanafunzi mwingine aliyetangulia kufika kaburini, akaingia pia ndani, akaona, akaamini. (

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Kisha yule mwanafunzi mwingine aliyetangulia kufika kaburini, akaingia pia ndani, akaona, akaamini. (

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Kisha yule mwanafunzi aliyetangulia kufika kaburini akaingia ndani, akaona, na akaamini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Kisha yule mwanafunzi aliyetangulia kufika kaburini naye akaingia ndani, akaona, akaamini.

Tazama sura Nakili




Yohana 20:8
5 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwambia, Wasiposikia Musa na manabii, ajapoondoka mtu katika wafu, hawatashawishwa.


Yesu akajibu, akamwambia, Kwa sababu nalikuambla, Nalikuona chini ya mtini, waamini? Utaona mambo makubwa kuliko haya.


Bassi wanafunzi wengine wakamwambia, Tumemwona Bwana. Akawaambia, Nisipoona mikononi mwake alama za misumari, na kutia kidole changu katika alama za misumari, na kutia mkono wangu uhavuni mwake, sitaamini kabisa.


Yesu amwambia, Kwa kuwa umeniona, umeamini; wa kheri wasioona wakaamini.


Wakaenda mbio wawili pamoja: yule mwanafunzi mwingine akaenda mbio upesi kuliko Petro, akawa wa kwanza wa kufika kaburini;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo