Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 20:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

6 Bassi akaja na Simon Petro, akimfuata, akaingia kaburini; akavitazama vitambaa vimewekwa,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Simoni Petro naye akaja akimfuata, akaingia kaburini; humo akaona sanda,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Simoni Petro naye akaja akimfuata, akaingia kaburini; humo akaona sanda,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Simoni Petro naye akaja akimfuata, akaingia kaburini; humo akaona sanda,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Ndipo Simoni Petro akaja akimfuata nyuma, akaingia ndani ya kaburi. Naye akaona vile vitambaa vya ile sanda vikiwa pale chini,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Ndipo Simoni Petro akaja, akimfuata nyuma akaenda moja kwa moja hadi ndani ya kaburi. Naye akaona vile vitambaa vya ile sanda vikiwa pale chini

Tazama sura Nakili




Yohana 20:6
9 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi yule kijakazi aliye mngoje mlango akamwambia Petro, Wewe nawe, je! huwi mmojawapo wa wanafunzi wake mtu huyu? Yeye akasema, Si mimi.


akainama, akaviona vitambaa vimewekwa; illakini hakuingia.


na ile leso iliyokuwa kichwani pake, haikuwekwa pamoja na vitambaa, bali imekunjwa, na kuwekwa mahali pa peke yake.


Bassi mwanafunzi yule ambae Yesu alimpenda akamwambia Petro, Ndiye Bwana. Bassi Simon Petro, aliposikia ya kwamba ni Bwana, akajifunga vazi lake (maana alikuwa uchi), akajitupa baharini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo