Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 20:29 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

29 Yesu amwambia, Kwa kuwa umeniona, umeamini; wa kheri wasioona wakaamini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Yesu akamwambia, “Je, unaamini kwa kuwa umeniona? Heri yao wale ambao hawajaona, lakini wameamini.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Yesu akamwambia, “Je, unaamini kwa kuwa umeniona? Heri yao wale ambao hawajaona, lakini wameamini.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Yesu akamwambia, “Je, unaamini kwa kuwa umeniona? Heri yao wale ambao hawajaona, lakini wameamini.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Isa akamwambia, “Umeamini kwa kuwa umeniona? Wamebarikiwa wale ambao hawajaona lakini wameamini.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Isa akamwambia, “Umeamini kwa kuwa umeniona? Wamebarikiwa wale ambao hawajaona lakini wameamini.”

Tazama sura Nakili




Yohana 20:29
10 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini ya kheri macho yenu, kwa kuwa yanaona; na masikio yenu, kwa kuwa yanasikia.


Na yu kheri aliyesadiki, kwa maana maneno hayo aliyoambiwa na Bwana yatatimizwa.


Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu, na Mungu wangu.


Bassi ndipo akaingia nae mwanafunzi yule mwingine aliyekuwa wa kwanza wa kufika kaburini, akaona, akaamini.


Bassi Yesu akamwambia, Msipoona ishara na maajabu hamtaamini kabisa.


Maana twaenenda kwa imani, si kwa kuona.


BASSI imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana.


Kwa imani akatoka Misri, asiogope hasira ya mfalme; maana alistahimili kama amwonae yeye asiyeonekana.


Na watu hawa wote wakiisha kushuhudiwa kwa sababu ya imani yao, hawakuipokea ahadi:


ambae mwampenda, ijapokuwa hamkumwona: ambae ijapokuwa hamwoni sasa, mnamwamini, na kufurahi sana, kwa furaha isiyoneneka, iliyotukuzwa,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo