Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 20:28 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

28 Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu, na Mungu wangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Thoma akamjibu, “Bwana wangu na Mungu wangu!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Thoma akamjibu, “Bwana wangu na Mungu wangu!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Thoma akamjibu, “Bwana wangu na Mungu wangu!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Tomaso akamwambia, “Bwana wangu na Mungu wangu!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Tomaso akamwambia, “Bwana wangu na Mungu wangu!”

Tazama sura Nakili




Yohana 20:28
22 Marejeleo ya Msalaba  

Nao waliokuwa ndani ya chombo wakamwendea, wakamsujudia, wakinena, Hakika wewe u Mwana wa Mungu.


Nao wakamsujudia, wakarudi Yerusalemi na furaha kuu:


MWANZO alikuwako Neno, nae Neno alikuwako kwa Mungu, nae Neno alikuwa Mungu.


Yesu akamwambia, Mariamu. Yeye akageuka, akamwambia kwa Kiebrania, Rabboni (tafsiri yake Mwalimu).


Akiisha akamwambia Tomaso, Lete hapa kidole chako, ukatazame mikono yangu; kalete mkono wako, uutie katika ubavu wangu; wala nsiwe asiyeamini, bali aaminiye.


Yesu amwambia, Kwa kuwa umeniona, umeamini; wa kheri wasioona wakaamini.


lakini hizi zimeandikwa mpate kuamini kwamba Yesu ni Kristo, Mwana wa Mungu; na kwa kuamini mwe na uzima kwa jina lake.


illi wote wamheshimu Mwana kama wanavyomheshimu Baba. Asiyemheshimu Mwana, hamheshimu Baba aliyempeleka.


Na bila shaka siri ya utawa ni kuu. Mungu alidhibirishwa katika mwili, alihesabiwa kuwa na wema katika roho, alionekana na malaika, alikhubiriwa katika mataifa, aliaminiwa katika ulimwengu, alichukuliwa juu katika utukufu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo