Yohana 20:24 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192124 Tomaso, mmoja wa wathenashara aitwae Didumo, hakuwako pamoja nao alipokuja Yesu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema24 Thoma, mmoja wa wale kumi na wawili (aitwaye Pacha), hakuwa pamoja nao wakati Yesu alipokuja. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND24 Thoma, mmoja wa wale kumi na wawili (aitwaye Pacha), hakuwa pamoja nao wakati Yesu alipokuja. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza24 Thoma, mmoja wa wale kumi na wawili (aitwaye Pacha), hakuwa pamoja nao wakati Yesu alipokuja. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu24 Lakini Tomaso (aliyeitwa Didimasi), mmoja wa wale kumi na wawili, hakuwa pamoja nao Isa alipokuja. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu24 Lakini Tomaso, aliyeitwa Didimasi, yaani Pacha, mmoja wa wale kumi na wawili, hakuwa pamoja nao Isa alipokuja. Tazama sura |