Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 2:21 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

21 Lakini yeye alinena khabari za hekalu ya mwili wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Lakini Yesu alikuwa anaongea juu ya hekalu ambalo ni mwili wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Lakini Yesu alikuwa anaongea juu ya hekalu ambalo ni mwili wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Lakini Yesu alikuwa anaongea juu ya hekalu ambalo ni mwili wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Lakini yeye Hekalu alilozungumzia ni mwili wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Lakini yeye Hekalu alilozungumzia ni mwili wake.

Tazama sura Nakili




Yohana 2:21
10 Marejeleo ya Msalaba  

Nae Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu, tukautazama utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee akitoka kwa Baba, amejaa neema na kweli.


Bassi alipofufuliwa katika wafu, wanafunzi wake wakakumbuka ya kuwa amenena neno hili, wakaliamini lile andiko na lile neno alilolinena Yesu.


Hamjui ya kuwa ninyi hekalu ya Mungu, na ya kuwa Roho Mtakatifu anakaa ndani yenu?


Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni hekalu ya Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, mliyopewa na Mungu? Na ninyi si mali yenu wenyewe;


Kwa maana ninyi hekalu la Mungu aliye hayi; kama Mungu alivyosema, ya kama, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.


Kwa kuwa katika yeye ilipendeza utimilifu wote ukae,


Maana katika yeye unakaa utimilifu wote wa Mungu, kwa namna ya kimwili.


mkhudumu wa patakatifu, na wa khema ya kweli, ambayo Bwana aliiweka wala si mwana Adamu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo