Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 19:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 Bassi Pilato aliposikia neno hilo, akazidi kuogopa;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Pilato aliposikia maneno hayo akazidi kuogopa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Pilato aliposikia maneno hayo akazidi kuogopa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Pilato aliposikia maneno hayo akazidi kuogopa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Pilato aliposikia haya, akaogopa zaidi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Pilato aliposikia haya, akaogopa zaidi.

Tazama sura Nakili




Yohana 19:8
4 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi Pilato, aliposikia maneno haya, akamleta Yesu nje, akaketi juu ya kiti, mahali paitwapo Sakafu ya mawe, na kwa Kiebrania Gabbatha.


Wayahudi wakamjibu, Sisi tuna sharia, na kwa sharia hiyo amepasiwa kufa, kwa sababu alijifanya kuwa Mwana wa Mungu.


akaingia tena Praitorio, akamwamhia Yesu, Umetoka wapi wewe? Lakini Yesu hakumpa jibu lo lote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo