Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 19:36 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

36 Kwa maana haya yalitukia andiko litimie, Hapana mfupa wake utakaovunjwa. Na tena,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Jambo hilo lilitendwa ili Maandiko Matakatifu yatimie: “Hapana hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Jambo hilo lilitendwa ili Maandiko Matakatifu yatimie: “Hapana hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Jambo hilo lilitendwa ili Maandiko Matakatifu yatimie: “Hapana hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 Kwa maana mambo haya yalitukia ili andiko litimie, lisemalo, “Hakuna hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 Kwa maana mambo haya yalitukia ili Maandiko yapate kutimia, yale yasemayo, “Hakuna hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa.”

Tazama sura Nakili




Yohana 19:36
10 Marejeleo ya Msalaba  

Haya yote yamekuwa, illi litimie neno lililonenwa na Bwana kwa ujumbe wa nabii akinena,


Sisemi khabari za ninyi nyote: nawajua niliowachagua; lakini andiko lipate kutimizwa, Aulae mkate pamoja nami ameinua kisigino chake juu yangu.


Bassi wakaambiana, Tusiipasue, lakini tuipigie kura, iwe ya nani; andiko litimie linenalo, Waligawanya nguo zangu, na vazi langu walilipigia kura. Bassi ndivyo walivyofanya askari.


Baada ya haya Yesu, akijua ya kuwa yote yamekwisha kumalizwa, andiko litimizwe, akasema, Nina kiu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo