Yohana 19:30 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192130 Bassi Yesu alipoipokea siki, akasema, Imekwisha: akainama kichwa, akatoa roho. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema30 Yesu alipokwisha pokea hiyo siki, akasema, “Yametimia!” Kisha akainamisha kichwa, akatoa roho. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 Yesu alipokwisha pokea hiyo siki, akasema, “Yametimia!” Kisha akainamisha kichwa, akatoa roho. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 Yesu alipokwisha pokea hiyo siki, akasema, “Yametimia!” Kisha akainamisha kichwa, akatoa roho. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu30 Baada ya kuionja hiyo siki, Isa akasema, “Imekwisha.” Akainamisha kichwa chake, akaitoa roho yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu30 Baada ya kuionja hiyo siki, Isa akasema, “Imekwisha.” Akainamisha kichwa chake, akaitoa roho yake. Tazama sura |