Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 19:29 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

29 Kikawako chombo kimejaa siki; bassi wakatia sifongo iliyojaa siki juu ya husopo, wakampelekea kinywani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Hapo palikuwa na bakuli limejaa siki. Basi, wakachovya sifongo katika hiyo siki, wakaitia juu ya ufito wa husopo, wakamwekea mdomoni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Hapo palikuwa na bakuli limejaa siki. Basi, wakachovya sifongo katika hiyo siki, wakaitia juu ya ufito wa husopo, wakamwekea mdomoni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Hapo palikuwa na bakuli limejaa siki. Basi, wakachovya sifongo katika hiyo siki, wakaitia juu ya ufito wa husopo, wakamwekea mdomoni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Hapo palikuwa na bakuli lililojaa siki. Kwa hiyo wakachovya sifongo kwenye hiyo siki, wakaiweka kwenye ufito wa mti wa hisopo, wakampelekea mdomoni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Hapo palikuwa na bakuli lililojaa siki. Kwa hiyo wakachovya sifongo kwenye hiyo siki, wakaiweka kwenye ufito wa mti wa hisopo, wakampelekea mdomoni.

Tazama sura Nakili




Yohana 19:29
9 Marejeleo ya Msalaba  

wakampa kunywa siki iliyochanganyika na safura; nae alipoonja hakutaka kunywa.


Marra mmoja wao akaenda mbio, akatwaa sifongo, akaijaza siki, akaitia juu ya unyasi, akamnywesha.


Nae Yesu akiisha kupaaza sauti tena kwa nguvu, akaitoa roho yake.


Mtu akapiga mbio, akajaza sifongo siki, akaitia jim ya unyasi, akamnywesha, akisema, Acheni; na tuone kwamba Eliya anakuja kumshusha.


Askari wakamdhihaki, wakimjia, wakimpa siki, na kusema,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo