Yohana 18:40 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192140 Bassi wakapiga kelele marra ya pili, wote pia, wakinena, Si huyu, bali Barabba. Nae Barabba alikuwa mnyangʼanyi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema40 Hapo wakapiga kelele: “La! Si huyu ila Baraba!” Naye Baraba alikuwa mnyanganyi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND40 Hapo wakapiga kelele: “La! Si huyu ila Baraba!” Naye Baraba alikuwa mnyanganyi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza40 Hapo wakapiga kelele: “La! Si huyu ila Baraba!” Naye Baraba alikuwa mnyang'anyi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu40 Wao wakapiga kelele, wakajibu, “Si huyu mtu, bali tufungulie Baraba!” Yule Baraba alikuwa mnyang’anyi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu40 Wao wakapiga kelele wakisema, “Si huyu mtu, bali tufungulie Baraba!” Yule Baraba alikuwa mnyang’anyi. Tazama sura |