Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 18:31 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

31 Bassi Pilato akawaambia, Mtwaeni ninyi, mkamhukumu kwa sharia yenu. Wayahudi wakamwambia, Sisi hatuna rukhusa kuua mtu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Pilato akawaambia, “Haya, mchukueni nyinyi wenyewe, mkamhukumu kufuatana na sheria yenu.” Wayahudi wakamjibu, “Sisi hatuna mamlaka ya kumwua mtu yeyote.” (

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Pilato akawaambia, “Haya, mchukueni nyinyi wenyewe, mkamhukumu kufuatana na sheria yenu.” Wayahudi wakamjibu, “Sisi hatuna mamlaka ya kumwua mtu yeyote.” (

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Pilato akawaambia, “Haya, mchukueni nyinyi wenyewe, mkamhukumu kufuatana na sheria yenu.” Wayahudi wakamjibu, “Sisi hatuna mamlaka ya kumwua mtu yeyote.” (

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Pilato akawaambia, “Basi mchukueni ninyi mkamhukumu kwa kufuata sheria zenu.” Wayahudi wakamjibu, “Sisi haturuhusiwi kutoa hukumu ya kifo kwa mtu yeyote.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Pilato akawaambia, “Basi mchukueni ninyi mkamhukumu kwa kufuata sheria zenu.” Wayahudi wakamjibu, “Sisi haturuhusiwi kutoa hukumu ya kifo kwa mtu yeyote.”

Tazama sura Nakili




Yohana 18:31
8 Marejeleo ya Msalaba  

Wakajibu, wakamwambia, Kama huyu asingekuwa mtu mwovu, tusingemleta kwako.


illi neno lake Yesu litimizwe, alilolisema, akionyesha ni mauti gani atakayokufa.


Bassi wale wakapiga kelele, Mwondoshe, mwondoshe, msulibishe. Pilato akawaambia, Nimsulibishe mfalme wenu? Makuhani wakuu wakajibu, Hatuna mfalme illa Kaisari.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo