Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 18:30 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

30 Wakajibu, wakamwambia, Kama huyu asingekuwa mtu mwovu, tusingemleta kwako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Wakamjibu, “Kama huyu hangalikuwa mwovu hatungalimleta kwako.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Wakamjibu, “Kama huyu hangalikuwa mwovu hatungalimleta kwako.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Wakamjibu, “Kama huyu hangalikuwa mwovu hatungalimleta kwako.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Wao wakamjibu, “Kama huyu mtu hakuwa mhalifu, tusingemleta kwako.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Wao wakamjibu, “Kama huyu mtu hakuwa mhalifu tusingemleta kwako.”

Tazama sura Nakili




Yohana 18:30
11 Marejeleo ya Msalaba  

Angalieni, tunapanda kwenda Yerusalemi: na Mwana wa Adamu atatiwa mikononi mwa makuhani wakuu na waandishi,


Makuhani wakamshitaki mengi.


ya kwamba imempasa Mwana wa Adamu kutiwa katika mikono ya watu wenye dhambi, na kusulibiwa, na kufufuka siku ya tafu.


Bassi Pilato akawatokea nje akasema, Mashitaka gani mnayoleta juu ya mtu huyu?


Bassi Pilato akawaambia, Mtwaeni ninyi, mkamhukumu kwa sharia yenu. Wayahudi wakamwambia, Sisi hatuna rukhusa kuua mtu;


Tangu hapo Pilato akatafuta kumfungua; lakini Wayahudi wakapiga makelele wakisema, Ukimfungua huyu, wewe si mpenda Kaisari; killa ajifanyae kuwa mfalme amfitini Kaisari.


Mungu wa Ibrahimu na Isaak na Yakobo, Mungu wa baba zetu, amemtukuza mtumishi wake Yesu, ambae ninyi mlimsaliti na kumkana mbele ya Pilato, alipokuwa ametoa hukumu yake afunguliwe.


Katika huyu nimeteswa kiasi cha kufungwa, kama mtenda mabaya; illakini neno la Mungu halifungwi.


Maana mtu wa kwenu asiteswe kama muuaji, au mwizi, au mtenda mabaya, au kama mtu ajishughulishae na mambo ya watu wengine.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo