Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 18:23 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

23 Yesu akamjibu, Kama nimesema mabaya, yashuhudie yale mabaya; bali kama nimesema mema, wanipigia nini?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Yesu akamjibu, “Kama nimesema vibaya, onesha huo ubaya; lakini ikiwa nimesema vema, mbona wanipiga?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Yesu akamjibu, “Kama nimesema vibaya, onesha huo ubaya; lakini ikiwa nimesema vema, mbona wanipiga?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Yesu akamjibu, “Kama nimesema vibaya, onesha huo ubaya; lakini ikiwa nimesema vema, mbona wanipiga?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Isa akamjibu akasema, “Kama nimesema jambo baya, shuhudia huo ubaya niliousema. Lakini kama nimesema yaliyo kweli, mbona umenipiga?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Isa akamjibu akasema, “Kama nimesema jambo baya, shuhudia huo ubaya niliousema. Lakini kama nimesema yaliyo kweli, mbona umenipiga?”

Tazama sura Nakili




Yohana 18:23
4 Marejeleo ya Msalaba  

bali mimi nawaambieni, Msishindane na mtu mwovu; bali mtu akupigae shavu la kuume, mgeuzie na la pili.


NAMI Paolo, nawasihi kwa upole na utaratibu wa Kristo, mimi niliye mnyenyekevu niwapo pamoja nanyi, bali nisipokuwapo mwenye ujasiri kwenu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo