Yohana 18:21 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192121 Ya nini kumuliza? waulize wale waliosikia, ni nini niliyosema nao: wao wanajua niliyowaambia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Kwa nini waniuliza mimi? Waulize wale waliosikia nini niliwaambia. Wao wanajua niliyowaambia.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Kwa nini waniuliza mimi? Waulize wale waliosikia nini niliwaambia. Wao wanajua niliyowaambia.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Kwa nini waniuliza mimi? Waulize wale waliosikia nini niliwaambia. Wao wanajua niliyowaambia.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Mbona unaniuliza mimi maswali? Waulize wale waliosikia yale niliyowaambia. Wanajua niliyoyasema.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Mbona unaniuliza mimi maswali? Waulize wale walionisikia yale niliyowaambia. Wao wanajua niliyosema.” Tazama sura |