Yohana 18:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192111 Bassi Yesu akamwambia Petro, Rudisha upanga wako alani mwake. Kikombe alichonipa Baba, nisikinywee? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Basi, Yesu akamwambia Petro, “Rudisha upanga wako alani. Je, nisinywe kikombe cha mateso alichonipa Baba?” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Basi, Yesu akamwambia Petro, “Rudisha upanga wako alani. Je, nisinywe kikombe cha mateso alichonipa Baba?” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Basi, Yesu akamwambia Petro, “Rudisha upanga wako alani. Je, nisinywe kikombe cha mateso alichonipa Baba?” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Isa akamwambia Petro, “Rudisha upanga wako kwenye ala yake. Je, hainipasi kukinywea kikombe alichonipa Baba?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Isa akamwambia Petro, “Rudisha upanga wako kwenye ala yake. Je, hainipasi kukinywea kikombe alichonipa Baba?” Tazama sura |