Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 18:10 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

10 Bassi Simon Petro alikuwa na upanga, akaufuta, akampiga mtumishi wa kuhani mkuu akamkata sikio lake la kuume. Na yule mtumishi jina lake alikwitwa Malko.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Simoni Petro alikuwa na upanga; basi, akauchomoa, akamkata sikio la kulia mtumishi wa kuhani mkuu. Mtumishi huyo aliitwa Malko.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Simoni Petro alikuwa na upanga; basi, akauchomoa, akamkata sikio la kulia mtumishi wa kuhani mkuu. Mtumishi huyo aliitwa Malko.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Simoni Petro alikuwa na upanga; basi, akauchomoa, akamkata sikio la kulia mtumishi wa kuhani mkuu. Mtumishi huyo aliitwa Malko.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Simoni Petro, aliyekuwa na upanga, akaufuta na kumkata sikio la kuume mtumishi wa kuhani mkuu. (Mtumishi huyo aliitwa Malko.)

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Simoni Petro, aliyekuwa na upanga, akaufuta na kumkata sikio la kuume mtumishi wa kuhani mkuu. Jina la mtumishi huyo aliitwa Malko.

Tazama sura Nakili




Yohana 18:10
6 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akamwambia, Amin, nakuambia, Wewe leo, usiku huu, kabla ya kuwika jogoo marra mbili, utanikana marra tatu.


Na mmoja wao waliohudhuria akavuta upanga, akampiga mtumwa wa kuhani mkuu, akamkata sikio.


Akamwambia, Bwana, pamoja nawe mimi ni tayari kwenda gerezani na kufa.


Mmoja wa wale watumishi wa kuhani mkuu, ni jamaa yule aliyekatwa sikio na Petro, akasema, Mimi sikukuona bustanini pamoja nae?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo