Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 17:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

4 Mimi nimekutukuza duniani. Kazi ile uliyonipa niifanye nimeimaliza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Mimi nimekutukuza hapa duniani; nimeikamilisha ile kazi uliyonipa niifanye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Mimi nimekutukuza hapa duniani; nimeikamilisha ile kazi uliyonipa niifanye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Mimi nimekutukuza hapa duniani; nimeikamilisha ile kazi uliyonipa niifanye.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Nimekutukuza wewe duniani kwa kuitimiza ile kazi uliyonipa niifanye.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Nimekutukuza wewe duniani kwa kuitimiza ile kazi uliyonipa niifanye.

Tazama sura Nakili




Yohana 17:4
13 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana nawaambieni, Hili lililoandikwa halina buddi kutimizwa kwangu, Alihesabiwa pamoja na maasi; kwa maana linipasalo lina mwisho.


Bassi ikaja sauti kutoka mbinguni, Nimelitukuza, nami nitalitukuza tena.


Na mkiomba lo lote kwa jina langu, hili nitalifanya, Baba atukuzwe ndani ya Mwana.


lakini ulimwengu ujue ya kuwa nampenda Baba; na, kama Baba alivyoniamuru, ndivyo nifanyavyo. Ondokeni, tufoke huku.


Mkizishika amri zangu, mtakaa katika pendo langu; kama mimi nilivyozishika amri za Baba yangu, na kukaa katika pendo lake.


Baada ya haya Yesu, akijua ya kuwa yote yamekwisha kumalizwa, andiko litimizwe, akasema, Nina kiu.


Bassi Yesu alipoipokea siki, akasema, Imekwisha: akainama kichwa, akatoa roho.


Yesu akawaambia, Chakula changu ndicho hiki, niyatende mapenzi yake aliyenipeleka nikaimalize kazi yake.


Lakini ushuhuda nilio nao ni mkubwa kuliko ule wa Yohana: kwa kuwa zile kazi nilizopewa na Baba nizimalize, kazi hizo zenyeye ninazozitenda zinanishuhudia kwamba Baba amenituma.


Yesu akajibu, Huyu hakutenda dhambi wala wazazi wake; bali kazi za Mungu zidhihirishwe kwake.


Lakini siyahesabu maisha yaugu kuwa kitu cha thamani kwangu kama kuumaliza mwendo wangu na khuduma ile niliyopokea kwa Bwana Yesu, kuishuhudia Injili ya neema ya Mungu.


Nimevifanya vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza, Imani nimeilinda;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo