Yohana 17:20 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192120 Wala si hao tu ninaowaombea, bali na wao walakaoniammi kwa sababu ya neno lao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 “Siwaombei hao tu, bali nawaombea pia wote watakaoamini kutokana na ujumbe wao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 “Siwaombei hao tu, bali nawaombea pia wote watakaoamini kutokana na ujumbe wao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 “Siwaombei hao tu, bali nawaombea pia wote watakaoamini kutokana na ujumbe wao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 “Siwaombei hawa peke yao, bali nawaombea na wale wote watakaoniamini kupitia neno lao, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 “Siwaombei hawa peke yao, bali nawaombea na wale wote watakaoniamini kupitia neno lao Tazama sura |