Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 17:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

18 Kama ulivyonituma mimi ulimwenguni, nami vivyo hivyo naliwatuma wao ulimwenguni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Kama vile ulivyonituma ulimwenguni, nami pia nimewatuma wao ulimwenguni;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Kama vile ulivyonituma ulimwenguni, nami pia nimewatuma wao ulimwenguni;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Kama vile ulivyonituma ulimwenguni, nami pia nimewatuma wao ulimwenguni;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Kama vile ulivyonituma mimi ulimwenguni, nami nawatuma vivyo hivyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Kama vile ulivyonituma mimi ulimwenguni, nami nawatuma vivyo hivyo.

Tazama sura Nakili




Yohana 17:18
13 Marejeleo ya Msalaba  

Hawa thenashara Yesu aliwatuma, akawaagiza, akinena, Katika njia ya Mataifa msiende, wala mjini mwa Wasamaria msiingie:


Kwa sababu hii, angalieni, mimi natuma kwenu manabii na wenye hekima na waandishi: na wengine wao mtawaua na mtawasulibi, na wengine wao mtawapiga katika sunagogi zenu, na mtawafukuza mji kwa mji;


Wote wawe umoja; kama wewe, Baba, ulivyo ndani yangu, na mimi ndani yako, illi na hawa wawe umoja ndani yetu: ulimwengu upate kuamini kwamba ndiwe uliyenituma.


mimi ndani yao, na wewe ndani yangu, wapate kukamilika na kuwa umoja; illi ulimwengu ujue ya kuwa udiwe uliyenituma, ukawapenda wao kama ulivyonipenda mimi.


Baba mwenye haki, ulimwengu haukukujua, lakini mimi nalikujua; na hawa walijua ya kuwa ndiwe uliyenituma.


Na uzima wa milele ni huu, wakujue wewe, Mungu wa peke yake, wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.


kwa kuwa maneno uliyonipa nimewapa wao; wakavapokea, wakajua hakika ya kuwa nalitoka kwako, wakaamini ya kwamba ndiwe uliyenituma.


Bassi Yesu akawaambia marra ya pili, Amani kwenu; kama Baba alivyonipeleka, nami nawatuma ninyi.


Maana Mungu hakumpeleka Mwana wake ulimwenguni auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe nae.


Mimi naliwatuma myavune msiyoyataabikia; wengine walitaabika, nanyi mmeingia katika taabu yao.


Bassi tu wajumbe kwa ajili ya Kristo, kana kwamba Mungu anakusihini kwa vinywa vyetu: twawaombeni kwa ajili ya Kristo mpatanishwe na Mungu.


ambayo nilifanywa mkhudumu wake, kwa kadiri ya kipawa cha neema yake Mungu niliyopewa kwa kadiri ya kutenda kazi kwa uweza wake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo