Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 16:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 Na akiisha kuja yeye, atauhakikisha ulimwengu kwa khabari ya dhambi, na haki, na hukumu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Naye atakapokuja atawathibitishia walimwengu kwamba wamekosea kuhusu dhambi, uadilifu na hukumu ya Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Naye atakapokuja atawathibitishia walimwengu kwamba wamekosea kuhusu dhambi, uadilifu na hukumu ya Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Naye atakapokuja atawathibitishia walimwengu kwamba wamekosea kuhusu dhambi, uadilifu na hukumu ya Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Naye atakapokuja, atauthibitishia ulimwengu kuhusu dhambi, haki na hukumu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Naye atakapokuja, atauthibitishia ulimwengu kuhusu dhambi, haki na hukumu.

Tazama sura Nakili




Yohana 16:8
10 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini mimi nawaambieni iliyo kweli; Yawafaa ninyi mimi niondoke: kwa maana nisipoondoka, Mfariji hatakuja kwenu; bali nikienda zangu, nitampeleka kwenu.


Kiva khabari ya dhambi, kwa sababu hawaniamini mimi;


Nani wenu anishuhudiae kuwa nina dhambi? Nikisema kweli, mbona ninyi hamniamini?


Nao, waliposikia, wakashitakiwa na dhamiri zao, wakatoka mmoja mmoja, wakianza tangu wazee hatta wa mwisho; akabaki Yesu peke yake, na yule mwanamke akisimama katikati.


Walipoyasikia haya wakachomwa mioyo yao, wakamwambia Petro na mitume wengine, Tutendeje, ndugu zetu?


Lakini wote wakikhutubu, akaingia mtu asiyeamini, au mjinga, alaumiwa na wote, ahukumiwa na wote;


illi afanye hukumu juu ya waiu wote, na kuwaadhibisha wote wasiomcha Mungu, kwa ajili ya kazi zao zote walizoziteuda bila kumcha Mungu, na kwa ajili ya maneno magumu yote ambayo hawo wenye dhambi wasiomcha Mungu wameyanena juu yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo