Yohana 16:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19218 Na akiisha kuja yeye, atauhakikisha ulimwengu kwa khabari ya dhambi, na haki, na hukumu; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Naye atakapokuja atawathibitishia walimwengu kwamba wamekosea kuhusu dhambi, uadilifu na hukumu ya Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Naye atakapokuja atawathibitishia walimwengu kwamba wamekosea kuhusu dhambi, uadilifu na hukumu ya Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Naye atakapokuja atawathibitishia walimwengu kwamba wamekosea kuhusu dhambi, uadilifu na hukumu ya Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Naye atakapokuja, atauthibitishia ulimwengu kuhusu dhambi, haki na hukumu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Naye atakapokuja, atauthibitishia ulimwengu kuhusu dhambi, haki na hukumu. Tazama sura |