Yohana 16:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19215 Lakini sasa nakwenda zangu kwake aliyenipeleka, wala hakuna mmoja wenu aniulizae, Unakwenda zako wapi? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Lakini sasa namwendea yule aliyenituma; na hakuna hata mmoja wenu anayeniuliza: ‘Unakwenda wapi?’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Lakini sasa namwendea yule aliyenituma; na hakuna hata mmoja wenu anayeniuliza: ‘Unakwenda wapi?’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Lakini sasa namwendea yule aliyenituma; na hakuna hata mmoja wenu anayeniuliza: ‘Unakwenda wapi?’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 “Sasa mimi ninaenda kwake yeye aliyenituma, lakini hakuna hata aniulizaye, ‘Unaenda wapi?’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 “Sasa mimi ninakwenda kwake yeye aliyenituma, lakini hakuna hata aniulizaye, ‘Unakwenda wapi?’ Tazama sura |