Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 16:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

4 Lakini nimewaambieni haya, illi kusudi saa ile itakapokuja myakumbuke ya kuwa mimi naliwaambieni. Haya sikuwaambieni tangu mwanzo, kwa sababu nalikuwa pamoja nanyi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Basi, nimewaambieni mambo haya ili saa yake itakapofika mkumbuke kwamba niliwaambieni. “Sikuwaambieni mambo haya tangu mwanzo kwa sababu nilikuwa pamoja nanyi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Basi, nimewaambieni mambo haya ili saa yake itakapofika mkumbuke kwamba niliwaambieni. “Sikuwaambieni mambo haya tangu mwanzo kwa sababu nilikuwa pamoja nanyi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Basi, nimewaambieni mambo haya ili saa yake itakapofika mkumbuke kwamba niliwaambieni. “Sikuwaambieni mambo haya tangu mwanzo kwa sababu nilikuwa pamoja nanyi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Lakini nimewaambia ninyi mambo haya, ili saa hiyo ikiwadia mpate kukumbuka ya kuwa nilikuwa nimewaambia. Sikuwaambia mambo haya tangu mwanzo kwa sababu nilikuwa pamoja nanyi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Lakini nimewaambia ninyi mambo haya, ili saa hiyo ikiwadia mpate kukumbuka ya kuwa nilikuwa nimewaambia. Sikuwaambia mambo haya tangu mwanzo kwa sababu nilikuwa pamoja nanyi.

Tazama sura Nakili




Yohana 16:4
15 Marejeleo ya Msalaba  

Na katika kuenenda kwenu, khubirini, nikinena, Ufalme wa mbinguni umekaribia.


Angalieni, nimetangulia kuwaambieni.


Yesu akawaambia, Wana wa arusi wawezaje kuomboleza, maadam Bwana arusi yupo pamoja nao? Lakini siku zitakuja atakapoondolewa bwana arusi; udipo watakapofunga.


Bali ninyi mwe macho: nimekwisha kuwaonyeni yote mbele.


Yesu akawaambia, Wana wa arusi wawezaje kufunga maadam Bwana arusi yupo pamoja nao? Maadam Bwana arusi yupo pamoja nao hawawezi kufunga.


kama walivyotuhadithia wale waliokuwa mashahidi, ua watumishi wa lile neno tokea mwanzo,


Tangu sasa nawaambieni kabla hayajatukia, illi yatakapotukia, mpate kuamini ya kuwa mimi ndiye.


Na sasa nimewaambieni kabla haijawa, kusudi iwapo, mwamini.


Maana nitamwonyesba mambo mengi makuu yatakayompasa kuteswa kwa ajili ya Jina langu.


Hamkumbuki ya kuwa wakati nilipokuwa pamoja nanyi naliwaambieni hayo?


Nikijua kwamba kule kuwekea mbali maskani yangu kwaja upesi, kama Bwana wetu Yesu Kristo alivyonionyesha kwa wazi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo