Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 16:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

3 Na hayo watawatendeni kwa sababu hawakumjua Baba wala mimi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Watawatendeeni mambo hayo kwa sababu hawamjui Baba, wala hawanijui mimi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Watawatendeeni mambo hayo kwa sababu hawamjui Baba, wala hawanijui mimi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Watawatendeeni mambo hayo kwa sababu hawamjui Baba, wala hawanijui mimi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Nao watawatenda haya kwa sababu hawamjui Baba wala mimi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Nao watawatenda haya kwa sababu hawamjui Baba wala mimi.

Tazama sura Nakili




Yohana 16:3
17 Marejeleo ya Msalaba  

Akawagenkia wanafunzi wake akasema, Nimekahidhiwa vyote na Baba yangu: wala hapana mtu ajuae khabari za Mwana illa Baba: wala khabari za Baha illa Mwana, na mtu ye yote ambae Mwana apenda kumfunulia.


Lakini haya yote watawatenda kwa sababu ya jina langu, kwa kuwa hawamjui aliyenipeleka.


Anichukiae mimi, humchukia na Baba yangu.


Baba mwenye haki, ulimwengu haukukujua, lakini mimi nalikujua; na hawa walijua ya kuwa ndiwe uliyenituma.


Na uzima wa milele ni huu, wakujue wewe, Mungu wa peke yake, wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.


Bassi wakamwambia, Yuko wapi Baba yako? Yesu akajibu, Mimi hamnijui, wala Baba yangu hammjui; kama mngaliuijua mimi, mngalimjua na Baba yangu.


Nanyi hamkumjua; lakini mimi namjua, na nikisema ya kwamba simjui, nitakuwa mwongo kama ninyi; lakini namjua na neno lake nalishika.


Bassi sasa ndugu, najua ya kuwa mliyatenda haya kwa kutokujua kwenu, kama na wakuu wenu walivyotenda.


ambayo wenye kutawala dunia hii hawakuijua hatta mmoja; maana kama wangaliijua, wasingalimsulibisha Bwana wa utukufu;


katika mwako wa moto, akiwalipa kisasi wao wasiomjua Mungu, nao wasioitii Injili ya Bwana wetu Yesu Kristo;


mimi niliyekuwa kwanza mtukanaji, mwenye kuudhi watu, mwenye jeuri: lakini nalirehemiwa kwa kuwa nalitenda hivyo kwa njinga, na kwa kutokuwa na imani;


Killa anikanae Mwana, amkana Baba pia.


FAHAMUNI, ni pendo la nanma gani alilotupa Baba, kuitwa wana wa Mungu. Kwa sababu hii ulimwengu haututambui, kwa kuwa haukumtambua yeye.


Asiyependa, hakumjua Mungu, kwa maana Mungu ni pendo.


Twajua kwamba Mwana wa Mungu amekwisha kuja, nae ametupa akili illi tumjue yeye aliye wa kweli, nasi tumo ndani yake yeye aliye wa kweli, ndani ya Mwana wake Yesu Kristo. Huyu ndiye aliye Mungu wa kweli na uzima wa milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo