Yohana 16:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19213 Na hayo watawatendeni kwa sababu hawakumjua Baba wala mimi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Watawatendeeni mambo hayo kwa sababu hawamjui Baba, wala hawanijui mimi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Watawatendeeni mambo hayo kwa sababu hawamjui Baba, wala hawanijui mimi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Watawatendeeni mambo hayo kwa sababu hawamjui Baba, wala hawanijui mimi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Nao watawatenda haya kwa sababu hawamjui Baba wala mimi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Nao watawatenda haya kwa sababu hawamjui Baba wala mimi. Tazama sura |