Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 16:21 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

21 Mwanamke azaapo, yuna huzuni kwa kuwa saa yake imekuja; hatta, akiisha kuzaa mwana, haikumbuki tena shidda, kwa sababu ya furaha ya kuzaliwa mtu ulimwenguni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Wakati mama anapojifungua huona huzuni kwa sababu saa ya maumivu imefika; lakini akisha jifungua hayakumbuki tena maumivu hayo kwa sababu ya furaha kwamba mtu amezaliwa duniani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Wakati mama anapojifungua huona huzuni kwa sababu saa ya maumivu imefika; lakini akisha jifungua hayakumbuki tena maumivu hayo kwa sababu ya furaha kwamba mtu amezaliwa duniani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Wakati mama anapojifungua huona huzuni kwa sababu saa ya maumivu imefika; lakini akisha jifungua hayakumbuki tena maumivu hayo kwa sababu ya furaha kwamba mtu amezaliwa duniani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Mwanamke anapokuwa na uchungu wa kuzaa huwa na maumivu kwa sababu saa yake imewadia. Lakini baada ya mtoto kuzaliwa, yule mwanamke husahau maumivu hayo kwa sababu ya furaha yake ya kuzaliwa mtoto ulimwenguni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Mwanamke anapokuwa na utungu wa kuzaa huwa na maumivu kwa sababu saa yake imewadia. Lakini mtoto akiisha kuzaliwa, yule mwanamke husahau maumivu hayo kwa sababu ya furaha ya kuzaliwa mtoto ulimwenguni.

Tazama sura Nakili




Yohana 16:21
18 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana imeandikwa, Fanya furaha, tassa usiyezaa; Paaza sauti, ukalie, wewe usiye na utungu; Kwa sababu watoto wake aliyeachwa ni wengi kuliko wake aliye na mume.


Maana wakati wasemapo, Kuna amani na salama, ndipo uharibifu uwajiapo kwa ghafula, kama vile utungu umjiavyo niwenye mimba; nao hawataokolewa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo