Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 16:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

18 Bassi walisema. Neno gani hili analosema, hili Bado kitambo? Hatujui asemalo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Basi, wakawa wanaulizana, “Ana maana gani anaposema: ‘Bado kitambo kidogo?’ Hatuelewi anasema nini.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Basi, wakawa wanaulizana, “Ana maana gani anaposema: ‘Bado kitambo kidogo?’ Hatuelewi anasema nini.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Basi, wakawa wanaulizana, “Ana maana gani anaposema: ‘Bado kitambo kidogo?’ Hatuelewi anasema nini.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Wakaendelea kuulizana, “Ana maana gani asemapo, ‘Kitambo kidogo’? Hatuelewi hilo analosema.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Wakaendelea kuulizana, “Ana maana gani asemapo, ‘Kitambo kidogo?’ Hatuelewi hilo analosema.”

Tazama sura Nakili




Yohana 16:18
5 Marejeleo ya Msalaba  

Nae akawaambia, Enyi wapumbavu, na wenye mioyo mizito katika kuyaamini yote waliyoyasema manabii!


Bassi baadhi ya wanafunzi wake walisemezana, Neno gani hili analosema, Bado kitambo nanyi hamnioni, na tena bado kitambo na mtaniona? na, Kwa sababu nakwenda zangu kwa Baba?


Yesu alifahamu ya kwamba walitaka kumwuliza akawaambia, Hili ndilo mnalotafuta ninyi kwa ninyi, ya kuwa nalisema, Bado kitambo nanyi hamnioni, na bado kitambo na mtaniona?


Kwa maana, iwapasapo kuwa waalimu, (maana wakati mwingi umepita) mnahitaji kufundishwa na mtu mafundisho ya kwanza ya maneno ya Mungu; nanyi mmekuwa mnahitaji maziwa wala si chakula kigumu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo