Yohana 16:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192116 Bado kitambo, nanyi hamnioni tena; na bado tena kitambo, na mtaniona. Kwa sababu nakwenda zangu kwa Baba. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 “Bado kitambo kidogo nanyi hamtaniona; na baada ya kitambo kidogo tena mtaniona!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 “Bado kitambo kidogo nanyi hamtaniona; na baada ya kitambo kidogo tena mtaniona!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 “Bado kitambo kidogo nanyi hamtaniona; na baada ya kitambo kidogo tena mtaniona!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Isa akaendelea kusema, “Bado kitambo kidogo nanyi hamtaniona, na tena bado kitambo kidogo nanyi mtaniona.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 “Bado kitambo kidogo nanyi hamtaniona na tena bado kitambo kidogo nanyi mtaniona.” Tazama sura |