Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 16:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

15 Yote aliyo nayo Baba m yangu; kwa hiyo nalisema ya kwamba atatwaa katika iliyo yangu, atawapasheni khabari.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Vyote alivyo navyo Baba ni vyangu; ndiyo maana nimesema kwamba huyo Roho atawajulisheni yale atakayopata kutoka kwangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Vyote alivyo navyo Baba ni vyangu; ndiyo maana nimesema kwamba huyo Roho atawajulisheni yale atakayopata kutoka kwangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Vyote alivyo navyo Baba ni vyangu; ndiyo maana nimesema kwamba huyo Roho atawajulisheni yale atakayopata kutoka kwangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Vyote alivyo navyo Baba ni vyangu. Ndiyo maana nimesema Roho atachukua yaliyo yangu na kuwajulisha ninyi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Vyote alivyo navyo Baba ni vyangu. Ndiyo maana nimesema Roho atachukua yaliyo yangu na kuwajulisha ninyi.

Tazama sura Nakili




Yohana 16:15
12 Marejeleo ya Msalaba  

Nimekabidhiwa vyote na Baba yangu: wala hakuna mtu amjuae Mwana, illa Baba; wala hakuna mtu amjuae Baba illa Mwana, na ye yote ambae Mwana apenda kumfunulia.


Yesu akaja kwao, akasema nao, akinena, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na juu ya dunia.


Akawagenkia wanafunzi wake akasema, Nimekahidhiwa vyote na Baba yangu: wala hapana mtu ajuae khabari za Mwana illa Baba: wala khabari za Baha illa Mwana, na mtu ye yote ambae Mwana apenda kumfunulia.


bassi Yesu akijua ya kuwa Baba amempa vyote mikononi mwake, na ya kuwa alitoka kwa Mungu, na anakwenda kwa Mungu,


Aliye na amri zangu, na kuzishika, yeye ndiye anipendae; nae anipendae atapendwa na Baba yangu, nami nitampenda, na kujidhihirisha kwake.


Na yote yaliyo yangu ni yako, na yaliyo yako ni yangu: nami nimetukuzwa ndani yao.


kama vile ulivyompa mamlaka juu ya killa mwenye mwili, illi yote uliyompa awape uzima wa milele.


Baba ampenda Mwana, amempa vyote mikononi mwake.


Kwa kuwa katika yeye ilipendeza utimilifu wote ukae,


ambae ndani yake zimo hazina zote za hekima na maarifa, zimesetirika.


Maana katika yeye unakaa utimilifu wote wa Mungu, kwa namna ya kimwili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo