Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 16:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

14 Yeye atanitukuza mimi: kwa kuwa atatwaa katika iliyo yangu, atawapasheni khabari.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Yeye atanitukuza mimi kwa kuwa atawajulisheni yale atakayopata kutoka kwangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Yeye atanitukuza mimi kwa kuwa atawajulisheni yale atakayopata kutoka kwangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Yeye atanitukuza mimi kwa kuwa atawajulisheni yale atakayopata kutoka kwangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Atanitukuza mimi, kwa maana atayachukua yaliyo yangu na kuwajulisha ninyi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Atanitukuza mimi, kwa maana atayachukua yaliyo yangu na kuwajulisha ninyi.

Tazama sura Nakili




Yohana 16:14
20 Marejeleo ya Msalaba  

Aliye na amri zangu, na kuzishika, yeye ndiye anipendae; nae anipendae atapendwa na Baba yangu, nami nitampenda, na kujidhihirisha kwake.


Lakini ajapo Mfariji, nitakaewapelekea toka kwa Baba, Roho ya kweli atokae kwa Baba, yeye atanishuhudia.


Neno hili alilisema katika khabari ya Roho, ambae wale wamwaminio watampokea khalafu: kwa maana Roho Mtakatifu alikuwa bado kuwapo, kwa sababu Yesu alikuwa bado kutukuzwa.


Kwa hiyo nawaarifu, ya kwamba hapana mtu asemae katika Roho ya Mungu, anenae, Yesu ni anathema; wala hawezi mtu kusema, Yesu ni Bwana, isipokuwa katika Roho Mtakatifu.


Kwa kuwa Mungu, aliyesema, Nuru itangʼaa toka gizani, ndive aliyengʼaa mioyoni mwetu, atupe nuru va elimu ya utukufu wa Mungu katika uso wa Yesu Kristo.


Maana sisi kwa Roho tunalitazamia tumaini la wema kwa njia ya imani.


Bassi, thamani hii ni kwenu ninyi mnaoamini, bali kwao wasioamini, Jiwe walilolikataa waashi, Limekuwa jiwe kuu la pembeni;


Na hii ndiyo amri yake, tuliamini jina la Mwana wake Yesu Kristo, na kupendana, kama alivyotupa amri.


Twajua kwamba Mwana wa Mungu amekwisha kuja, nae ametupa akili illi tumjue yeye aliye wa kweli, nasi tumo ndani yake yeye aliye wa kweli, ndani ya Mwana wake Yesu Kristo. Huyu ndiye aliye Mungu wa kweli na uzima wa milele.


Huyu ndiye ajae kwa maji na damu, Yesu Kristo; si katika maji tu, bali katika maji na katika damu. Na Roho ndiyo ishuhuduyo, kwa sababu Roho ndiyo iliyo kweli.


Nikaanguka mbele ya miguu yake, nimsujudie, akaniambia, Angalia, usifanye hivi: mimi mjoli wako na mmoja wa ndugu zako walio na ushuhuda wa Yesu. Msujudu Mungu: kwa maana ushuhuda wa Yesu ni roho ya unabii.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo