Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 16:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

12 Hatta ninayo mengi bado ya kuwaambieni, lakini hamwezi kuyastahimili sasa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 “Ninayo bado mengi ya kuwaambieni, ila kwa sasa hamwezi kuyastahimili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 “Ninayo bado mengi ya kuwaambieni, ila kwa sasa hamwezi kuyastahimili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 “Ninayo bado mengi ya kuwaambieni, ila kwa sasa hamwezi kuyastahimili.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 “Bado ninayo mambo mengi ya kuwaambia, lakini hamwezi kuyastahimili sasa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 “Bado ninayo mambo mengi ya kuwaambia, lakini hamwezi kuyastahimili sasa.

Tazama sura Nakili




Yohana 16:12
8 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa mifano mingi ya namna hii alikuwa akisema nao neno lake, kwa kadiri walivyoweza kusikia;


Sitasema nanyi maneno mengi tena, kwa maana mkuu wa ulimwengu anakuja, wala hana kitu kwangu:


Siwaiti tena watumwa; kwa maana mtumwa hajui atendalo bwana wake; ninyi nimewaita rafiki; kwa kuwa yote niliyosikia kwa Baba nimewaarifuni.


kwa khabari ya hukumu, kwa sababu mkuu wa ulimwengu huu amehukumiwa.


Lakini ajapo yeye, Roho ya kweli, atawaongozeni katika yote iliyo kweli: kwa maana hatasema kwa shauri lake yeye, lakini yote atakayosikia, atayasema, na mambo yajayo atawapasha khabari yake.


na baada ya kuteswa kwake, akawadhihirisbia ya kwamba yu hayi, kwa dalili nyingi, akiwatokea muda wa siku arubaini, na kuyanena mambo yaliyonkhusu ufalme wa Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo