Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 16:1 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

1 MANENO haya nimewaambieni msije mkachukizwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 “Nimewaambieni hayo kusudi msiiache imani yenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 “Nimewaambieni hayo kusudi msiiache imani yenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 “Nimewaambieni hayo kusudi msiiache imani yenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 “Nimewaambia mambo haya yote ili msije mkaiacha imani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 “Nimewaambia mambo haya yote ili msije mkaiacha imani.

Tazama sura Nakili




Yohana 16:1
11 Marejeleo ya Msalaba  

Na yu kheri ye yote asiyechukiwa nami.


lakini hana mizizi udani yake, hukaa muda mchache; ikitukia shidda au udhia kwa sababu ya lile neno, marra huchukizwa.


Wakachukizwa nae. Yesu akawaambia, Nabii hakosi heshima, isipokuwa katika inchi yake mwenyewe, na nyumbani mwake mwenyewe.


Ndipo wengi watajikwaa, na watasalitiana, na kuchukiana.


Haya nimewaambieni, illi furaha yangu iwe ndani yenu, na furaha yenu itimizwe.


Lakini nimewaambieni haya, illi kusudi saa ile itakapokuja myakumbuke ya kuwa mimi naliwaambieni. Haya sikuwaambieni tangu mwanzo, kwa sababu nalikuwa pamoja nanyi.


Ni vyema kutokula nyama wala kunywa divai wala kutenda neno ambalo ndugu yako hukwazwa au kuangushwa au kuwa dhaifu.


mpate kuyakubali yaliyo mema; illi mwe na mioyo safi, bila kosa, mpaka siku ya Kristo,


tena, Jiwe lakujikwaza mguu, na mwamba wa kujiangusha; maana hujikwaza kwa neno lile, wakiliasi, nao waliwekwa wapate hayo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo