Yohana 15:25 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192125 Lakini litimie neno lililoandikwa katika sharia yao, Walinichukia burre. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema25 Ndiyo maana yale yaliyoandikwa katika sheria yao ni kweli: ‘Wamenichukia bure!’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND25 Ndiyo maana yale yaliyoandikwa katika sheria yao ni kweli: ‘Wamenichukia bure!’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza25 Ndiyo maana yale yaliyoandikwa katika sheria yao ni kweli: ‘Wamenichukia bure!’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu25 Lakini hii ni kutimiza lile neno lililoandikwa kwenye Torati kwamba, ‘Walinichukia pasipo sababu.’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu25 Lakini hii ni kutimiza lile neno lililoandikwa kwenye Torati kwamba, ‘Walinichukia pasipo sababu.’ Tazama sura |