Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 15:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

14 Ninyi m rafiki zangu, mkitenda niwaamuruyo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Nyinyi ni rafiki zangu mkifanya ninayowaamuru.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Nyinyi ni rafiki zangu mkifanya ninayowaamuru.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Nyinyi ni rafiki zangu mkifanya ninayowaamuru.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Ninyi ni rafiki zangu mkifanya ninayowaamuru.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Ninyi ni rafiki zangu mkifanya ninayowaamuru.

Tazama sura Nakili




Yohana 15:14
19 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana ye yote atakaeyafanya mapenzi ya baba yangu aliye mbinguni, huyu ndiye ndugu yangu, na umbu langu, na mama yangu.


Lakini nawaambia ninyi rafiki zangu, Msiwaogope wao wauuao mwili na baada ya haya hawana neno la kutenda la zaidi.


Mkiyajua hayo, m kheri mkiyatenda.


Mkinipenda mtazishika amri zangu.


Aliye na amri zangu, na kuzishika, yeye ndiye anipendae; nae anipendae atapendwa na Baba yangu, nami nitampenda, na kujidhihirisha kwake.


Mlisikia ya kwamba mimi naliwaambia, Nakwenda zangu, tena naja kwenu. Kama mngalinipenda, mngalifurahi, kwa sababu nashika njia kwenda kwa Baba: kwa maana Baba ni mkuu kuliko mimi.


Mama yake akawaambia watumishi, Lo lote atakalowaambieni fanyeni.


Maandiko yale yakatimizwa yaliyonena, Ibrahimu alimwamini Mungu ikahesabiwa kwake kuwa ni haki: nae aliitwa raliki wa Mungu.


Kwa maana huku ndiko kumpenda Mungu, kuzisinka amri zake: na amri zake si nzito.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo