Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 15:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

12 Amri yangu ndio hii, mpendane, kama nilivyowapenda ninyi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Hii ndiyo amri yangu: Pendaneni; pendaneni kama nilivyowapenda nyinyi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Hii ndiyo amri yangu: Pendaneni; pendaneni kama nilivyowapenda nyinyi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Hii ndiyo amri yangu: pendaneni; pendaneni kama nilivyowapenda nyinyi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Amri yangu ndiyo hii: Mpendane kama mimi nilivyowapenda ninyi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Amri yangu ndiyo hii: Mpendane kama mimi nilivyowapenda ninyi.

Tazama sura Nakili




Yohana 15:12
16 Marejeleo ya Msalaba  

Amri mpya nawapeni, mpendane; kama vile nilivyowapenda ninyi, na ninyi mpendane vivyo hivyo.


Haya nawaamuru, mpate kupendana.


Kwa pendo la udugu, mwe na shauku ninyi kwa ninyi; kwa heshima mkiwatanguliza wenzenu;


mkaenende katika upendo, kama na Kristo alivyowapenda ninyi, akajitoa kwa ajili yetu, sadaka na dhabihu kwa Mungu, kuwa harufu nzuri.


Bwana na awaongozeni na kuwazidisheni katika upendo, ninyi kwa ninyi, na kwa watu wote, kama vile na sisi kwenu;


Kwa khabari ya upendano, hamna haja niwaandikie: maana ninyi wenyewe mmefundishwa na Mungu kupendana.


Imetupasa kumshukuru Mungu siku zote kwa ajili yenu, ndugu, kama ilivyo wajib, kwa kuwa imani yenu inazidi sana, na upendo wa killa mtu kwenu kwa wenzake umekuwa mwingi.


Mkiisha kujisafisha roho zenu kwa kuitii kweli, kwa Roho, kiasi cha kuufikilia upendano usio na unafiki, bassi jitahidini kupendana kwa moyo;


Neno la mwisbo ni hili; mwe na nia moja, wahurumianao, wenye kupendana kama ndugu, wasikitikivu, wanyenyekevu;


zaidi ya yote mwe na juhudi nyingi katika kupendana; kwa sababu upendano husetiri wingi wa dhambi;


Na hii ndiyo amri yake, tuliamini jina la Mwana wake Yesu Kristo, na kupendana, kama alivyotupa amri.


Na amri hii tumepewa nae, ya kwamba yeye ampendae Mungu, ampende na ndugu yake.


Na sasa, Bibi, nakuomba, si kwamba nakuandikia amri mpya, bali ile tuliyokuwa nayo tangu mwanzo, kwamba tupendane.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo