Yohana 15:1 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19211 MIMI ndimi niliye mzabibu wa kweli, na Baba yangu ni mkulima. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 “Mimi ni mzabibu wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 “Mimi ni mzabibu wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 “Mimi ni mzabibu wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 “Mimi ndimi mzabibu wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 “Mimi ndimi mzabibu wa kweli na Baba yangu ndiye mkulima. Tazama sura |