Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 15:1 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

1 MIMI ndimi niliye mzabibu wa kweli, na Baba yangu ni mkulima.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 “Mimi ni mzabibu wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 “Mimi ni mzabibu wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 “Mimi ni mzabibu wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 “Mimi ndimi mzabibu wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 “Mimi ndimi mzabibu wa kweli na Baba yangu ndiye mkulima.

Tazama sura Nakili




Yohana 15:1
28 Marejeleo ya Msalaba  

Akajibu, akasema, Killa pando asilolipanda Baba yangu wa mbinguni, litangʼolewa.


KWA maana ufalme wa mbinguni umefanana na mtu mwenye nyumba, aliyetoka alfajiri kwenda kuajiri wakulima awapeleke katika shamba lake la mizabibu.


Sikilizeni mfano mwingine. Kulikuwa na mtu mwenye nyumba, nae alipanda mizabibu, akazungusha uzio, akachimba shimo ndani yake, akajenga mnara, akapangisha wakulima, akasafiri.


AKAANZA kusema nao kwa mifano. Mtu alipanda mizabibu, akazungusha nzio, akachimbia shimo lake shinikizo, akajenga mnara, akapangisha wakulima, akasafiri.


Akanena mfano huu: Mtu mmoja alikuwa na mtini, umepandwa katika shamba lake la mizabibu; akaenda akitafuta matunda juu yake wala hakupata.


Kwa kuwa torati ilitolewa kwa mkono wa Musa, neema na kweli zilikuwa kwa mkono wa Yesu Kristo.


Kulikuwako nuru halisi, imtiayo nuru killa mtu ajae katika ulimwengu.


Kilia tawi ndani yangu lisilozaa huliondoa; na killa lizaalo hulisafisha illi lizidi kuzaa.


Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambieni, Siye Musa aliyewapa mkate ule kutoka mbinguni, bali Baba yangu anawapa mkate ule utokao mbinguni ulio wa kweli.


Kwa maima nyama yangu ni chakula cha kweli, na damu yangu ni kinywaji cha kweli,


Lakini iwapo matawi mengine yamekatiwa, na wewe mzeituni mwitu ulitiwa kati yao ukawa mshirika wa shina la mzeituni na unono wake,


Maana ninyi mwafanya kazi pamoja na Mungu: ninyi m shamba la Mungu, m jengo la Mungu.


Na ile amri ya zamani ndiyo ile mliyosikia tangu mwanzo. Tena nawaandikia amri mpya, neno lililo kweli ndani yake na ndani yenu, kwa kuwa giza linapita na ile nuru ya kweli imekwisha kungʼaa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo