Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 14:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 Filipo akamwambia, Bwana, tuonyeshe Baba, yatutosha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Filipo akamwambia, “Bwana, tuoneshe Baba, nasi tutatosheka.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Filipo akamwambia, “Bwana, tuoneshe Baba, nasi tutatosheka.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Filipo akamwambia, “Bwana, tuoneshe Baba, nasi tutatosheka.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Filipo akamwambia, “Bwana, tuoneshe Baba, na hiyo itatutosha.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Filipo akamwambia, “Bwana, tuonyeshe Baba yako yatosha.”

Tazama sura Nakili




Yohana 14:8
12 Marejeleo ya Msalaba  

Wa kheri walio na moyo safi; maana hawo watamwona Mungu.


Nathanaeli akamwambia, Umepataje kunijua? Yesu akajibu, akamwambia, Kabla Filipo hajakuita, ulipokuwa chini ya mtini, nalikuona.


Haya nimesema nanyi kwa methali: saa inakuja, sitasema nanyi tena kwa methali, lakini nitawapa kwa wazi khabari ya Baba.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo