Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 14:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

5 Tomaso akamwambia, Bwana, hatujui uendako; twaijuaje njia?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Thoma akamwuliza, “Bwana, hatujui unakokwenda, tutawezaje basi, kuijua hiyo njia?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Thoma akamwuliza, “Bwana, hatujui unakokwenda, tutawezaje basi, kuijua hiyo njia?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Thoma akamwuliza, “Bwana, hatujui unakokwenda, tutawezaje basi, kuijua hiyo njia?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Tomaso akamwambia, “Bwana, sisi hatujui unakoenda, tutaijuaje njia?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Tomaso akamwambia, “Bwana, sisi hatujui unakokwenda, tutaijuaje njia?”

Tazama sura Nakili




Yohana 14:5
10 Marejeleo ya Msalaba  

Filipo, na Bartolomayo, na Tomaso, na Mattayo mtoza ushuru; Yakobo wa Alfayo, na Lebbayo, aliyekwitwa Thaddayo;


Akamjibu, akanena, Ee kizazi kisichoamini, niwe kwenu hatta lini? nichukuliane nanyi hatta lini? Mleteni kwangu.


Nae akawaambia, Enyi wapumbavu, na wenye mioyo mizito katika kuyaamini yote waliyoyasema manabii!


Bassi Tomaso, aitwae Didumo, akawaambia wanafunzi wenziwe, Twende na sisi, tufe pamoja nae.


Na mimi niendako, mwaijua njia.


Amri yangu ndio hii, mpendane, kama nilivyowapenda ninyi.


Lakini sasa nakwenda zangu kwake aliyenipeleka, wala hakuna mmoja wenu aniulizae, Unakwenda zako wapi?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo