Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 14:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

18 Sitawaacha ninyi yatima; naja kwenu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 “Sitawaacha nyinyi yatima; nitakuja tena kwenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 “Sitawaacha nyinyi yatima; nitakuja tena kwenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 “Sitawaacha nyinyi yatima; nitakuja tena kwenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Sitawaacha ninyi yatima; nitakuja kwenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Sitawaacha ninyi yatima, naja kwenu.

Tazama sura Nakili




Yohana 14:18
18 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa wawili au watatu walipo wamekusanyika kwa jina langu, nami nipo papo hapo katikati yao.


mkiwafundisha kushika yote niliyowaamuru ninyi: nti tazama, mimi nipo pamoja nanyi sikuzote, hatta mwisho wa dunia. Amin.


Na mimi nitamwomba Baba, nae atawapa Mfariji mwingine, akaae nanyi hatta milele,


Bassi nikishika njia kwenda kuwaandalia mahali, nitakuja tena, niwakaribisheni kwangu; illi nilipo mimi, nanyi mwepo.


Bado kitambo, nanyi hamnioni tena; na bado tena kitambo, na mtaniona. Kwa sababu nakwenda zangu kwa Baba.


Haya nimewaambieni, mpate kuwa na amani ndani yangu. Ulimwenguni mtapata shidda: lakini jipeni moyo; mimi nimeushinda ulimwengu.


Na Bwana wetu Yesu Kristo, na Mungu Baba yetu aliyetupenda akatupa faraja ya milele na tumaini jema, katika neema,


Na kwa kuwa aliteswa alipojaribiwa, aweza kuwasaidia wao wanaojaribiwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo