Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 14:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

15 Mkinipenda mtazishika amri zangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 “Mkinipenda mtazishika amri zangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 “Mkinipenda mtazishika amri zangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 “Mkinipenda mtazishika amri zangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 “Kama mnanipenda, mtazishika amri zangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 “Kama mnanipenda, mtazishika amri zangu.

Tazama sura Nakili




Yohana 14:15
20 Marejeleo ya Msalaba  

Apendae baba au mama kuliko mimi, hanifai; na apendae mwana au binti kuliko mimi hanifai.


Yesu akawaambia, Kama Mungu angekuwa baba yenu mngenipenda mimi; kwa maana nalitoka kwa Mungu, na nimekuja; wala sikuja kwa nafsi yangu, bali yeye ndiye aliyenituma.


Mtu aliye yote asiyempenda Bwana Yesu Kristo, na awe anathema. Maranatha.


Maana katika Kristo Yesu kutahiriwa hakufai neno wala kutokutahiriwa, bali imani itendayo kazi kwa upendo.


Neema iwe pamoja na wote wampendao Bwana wetu Yesu pasipo hila. Amin.


ambae mwampenda, ijapokuwa hamkumwona: ambae ijapokuwa hamwoni sasa, mnamwamini, na kufurahi sana, kwa furaha isiyoneneka, iliyotukuzwa,


Na huu ndio upendo: tuenende kwa kuzifuata amri zake. Illi ndiyo ile amri, kama ulivyosikia tangu mwanzo kwamba mwenende katika hiyo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo